Afya Zetu : Mhe. Lema Asaini Mkataba wa Ujenzi wa Hospitali ya Mama na Mtoto, Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


21 May 2015

Afya Zetu : Mhe. Lema Asaini Mkataba wa Ujenzi wa Hospitali ya Mama na Mtoto, Jijini Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Mh Godbless Lema kupitia Arusha Development Fund (ArDF) amesaini makubaliano na wafadhili kufanikisha ujenzi wa hospitali ya Mama na Mtoto Jijini Arusha wenye thamani ya US$ Mil 3.2
Makabidhiano hayo yamefanyika eneo la Burka katika kiwanja ambacho Lema alikabidhiwa na Mawalla Advoctes mapema leo asubuhi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad