Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili
mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0
na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini
Rustenburg.Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano
katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa
kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja
wa Moruleng. Kwa Maelezo Zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
TAASISI NYINGINE ZIIGE MFANO WA VERTEX - CMSA
-
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji Tanzania (CMSA) imezitaka taasisi nyingine
kuiga jambo zuri la kufanya, tathimini ya utendaji wa masoko ya mitaji kwa
mwaka 2...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment