Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili
mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0
na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini
Rustenburg.Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano
katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa
kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja
wa Moruleng. Kwa Maelezo Zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ik...
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
What are we looking for in a Leopard sighting?
-
Travel with Purpose: Meeting the Leopard
The African Leopard (*Panthera pardus*) is perhaps the most elusive and
adaptable of the big cats. Of...
No comments:
Post a Comment