Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) usiku huu
ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia
CHADEMA.Mhe. Kabwe ametangaza kung'atuka nafasi hiyo baada ya Mwenyekiti wa Bunge
Mhe Mussa Hassan Zungu Kumruhusu kutoa kauli binafsi mara baada ya wabunge
kumaliza kupitia vifungu vya sheria ya Maafa ambayo hata hivyo
haikupitishwa kwa kutotimia akidi ya wabunge ambao nusu yao hawakuwepo
ukumbini.Mhe Zungu alimtakia kila la heri Mbunge huyo machachari ambaye amesema
ameamua kuachia ngazi baada ya chama chake kumfukuza.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
DED MBEYA DC AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA AJIRA 259
-
*Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica E. Yegella
amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu
Hassan, kwa kut...
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
TCAA Yatoa Msaada kwa Kituo cha Tupendane Dodoma
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), kama sehemu ya kurudisha kwa
jamii, imetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto cha Tupendane
kilichopo ji...
No comments:
Post a Comment