Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) usiku huu
ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia
CHADEMA.Mhe. Kabwe ametangaza kung'atuka nafasi hiyo baada ya Mwenyekiti wa Bunge
Mhe Mussa Hassan Zungu Kumruhusu kutoa kauli binafsi mara baada ya wabunge
kumaliza kupitia vifungu vya sheria ya Maafa ambayo hata hivyo
haikupitishwa kwa kutotimia akidi ya wabunge ambao nusu yao hawakuwepo
ukumbini.Mhe Zungu alimtakia kila la heri Mbunge huyo machachari ambaye amesema
ameamua kuachia ngazi baada ya chama chake kumfukuza.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
The Day a Giant Strolled Through Camp
-
Just when we believed the Serengeti had revealed all its magic, the wild
reminded us who truly rules the savannah.
On an otherwise quiet afternoon,...
Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
NBAA YATEMBELEA BAOBA INSTITUTE OF TANZANIA
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
na jitihada zake za kuhamasisha na kuendeleza Taaluma ya Uhasibu nchini kwa
k...
No comments:
Post a Comment