Matukio : Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda Ziarani nchini Japan - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Friday 13 March 2015

Matukio : Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda Ziarani nchini Japan


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Ujumbe wake wakizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Japan Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai.
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women's Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto na Yoko Shima .
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women's Federation for WOrld Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Mutsako Setomoto.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women's Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana na Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Mutsako Setomoto, Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Kazunori Arase.

No comments:

Post a Comment