Ajali Arusha : Basi la Arusha Express limegongana na Lori eneo la Kisongo Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Friday 13 March 2015

Ajali Arusha : Basi la Arusha Express limegongana na Lori eneo la Kisongo Arusha

Habari zilizotufikia ni kuwa kuna Ajali imetokea maeneo ya Kisongo Arusha kati ya Basi la Arusha Express inayofanya Safari zake Arusha,Singida   na Dodoma hadi Mbeya na Lori la kampuni ya Aggrewals la Hapa Arusha. 

Chanzo cha Ajali inasemekana ni mwendo kasi wa basi la Abiria...


Taarifa nyingine zitafuata.... Stay tuned.........Wazalendo 25 Blog

No comments:

Post a Comment