Maisha Yetu : Vodacom Yamkabidhi aliyejishindia kitita cha Milioni 100 , Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

4 Feb 2015

Maisha Yetu : Vodacom Yamkabidhi aliyejishindia kitita cha Milioni 100 , Jijini Dar


Mshindi wa Milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Uwezo Magedenge ambaye ni mkazi wa Kilolo mkoani Iringa(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa kitita chake,Wengine katika picha Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Brigitta Stephen(kushoto) na Meneja wa Benki ya NMB kanda ya Dar es Salaam,Selie Mlay.Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633