Mfuko wa Jamii :GEPF katika Maonyesho ya siku ya Viwanda jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 21 November 2014

Mfuko wa Jamii :GEPF katika Maonyesho ya siku ya Viwanda jijini Dar


Waziri wa Viwanda na Biashara,Mh. Dkt. Abdallah Kigoda akipata maelezo ya namna ya kunufaika baada ya kujiunga na Mfuko wa Mafao ya Kustaafu GEPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo, Albert Kitunga, wakati alipotembelea banda la maonesho la GEPF kwenye maonyesho ya siku ya viwanda yanayoendelea kwenye viwanja vya maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ‘sabasaba’ Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment