Elimu Yetu : Mhe. James Mbatia Achangisha Pesa Kunusuru Elimu Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Tuesday, 4 November 2014

demo-image

Elimu Yetu : Mhe. James Mbatia Achangisha Pesa Kunusuru Elimu Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro.

DSC06071
Mbunge wa kuteuliwa akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni ;a wavulana katika shule ya sekondari Bishop Moshi.
DSC06086
Mbunge Mbatia akichangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
DSC06177
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule hiyo walichangia mifuko mitatu ya Sementi ambayo walikabidhi kwa mgeni rasmi Mbunge Mbatia.
DSC06207
Wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao wakipewa zawadi wakati wa hafla hiyo ya harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni.
DSC06236
Mbunge Mbatia akitangaza kiasi cha mchango wake katika ujenzi wa Bweni ambapo alitangaza kutoa kiasi cha shilingi milioni 10 ,pembeni yake ni mkuu wa shule hiyo Sophia Mushi akifurahi .


Na Dixon Busagaga

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *