Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).
Dkt. Kuhenga azungumza Dhima ya vyombo vya habari kwa wanafunzi wa Kimataifa
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dkt. Dotto Kuhenga,
ametoa mhadhara kuhusu nafasi ya vyombo vya habari nchini Tanzan...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment