Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).
SEKTA YA MADINI YAJADILI MIKAKATI KUCHOCHEA UCHUMI WA DOLA TRILIONI MOJA
IFIKAPO 2050
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma *
*Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Chemba ya Migodi
Tanzania (TCM) imejadili na kuweka mikakati w...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment