Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).
TAFITI ZA NDANI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA AKILI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Wataalamu wa saikolojia nchini wameeleza kuwa ukosefu wa tafiti zinazoakisi
uhalisia wa jamii za Kitanzania, pamoja na kue...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment