Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).
Kogamano la Kimataifa la utamaduni kufanyika Zanzibar Mei 2026
-
*Wasanii kutoka Jamhuri ya Korea wakionesha moja ya ngoma za aslili za nchi
hiyo wakati wa Tamasha la Ngoma za asili za Jamhuri ya Korea jana Jijini
Dar es...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment