POLISI ,TEKNOLOJIA :TCRA YATOA SEMINA KWA MAOFISA WA POLISI MKOA WA KILIMANJARO - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 27 June 2014

demo-image

POLISI ,TEKNOLOJIA :TCRA YATOA SEMINA KWA MAOFISA WA POLISI MKOA WA KILIMANJARO


G03A1520
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP ,Robert Boaz akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja kwa maofisa wa polisi wa ngazi mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA kushoto kwake ni Naibu Mkurugenzi wa kanda wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini ,Victor Nkya.
G03A1513
G03A1516
Naibu Mkurugenzi wa kanda wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini ,Victor Nkya akizungumza wakati semina ya siku moja kwa maofisa wa polisi wa ngazi mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro.



G03A1505
Mkuu wa kikosi cha Upelelezi mkoa wa Kilimanjaro SSP ,Ramadhan Ng'anzi akizungumza katika semina hiyo.
G03A1478
Baadhi ya washiriki katika semina hiyo ambao ni maofisa wa ngazi mbalimbali katika jeshi la polisi.
G03A1503
Baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi wakijitambulisha katika semina hiyo.
G03A1536
Kamanada wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP Rober Boaz akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa TCRA,kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa kanda wa TCRA,Victor Nkya na kushoto kwake ni Meneja wa TCRA kanda ya kaskazini mhandisi Annete Matindi.
G03A1545
Washiriki wa semiana wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .
G03A1560
Baadhi ya washiriki wakibadirishana mawazo wakati wa mapumziko.

Na Dixon Busagaga

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *