MWILI WA GEORGE TYSON WAAGWA : MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE OTIENO TYSON KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Wednesday 4 June 2014

MWILI WA GEORGE TYSON WAAGWA : MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE OTIENO TYSON KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

IMG_4491
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa mtayarishaji wa filamu na muongozaji wa vipindi vya Televisheni marehemu Geogre Tyson aliyeaga dunia Ijumaa iliyopita maeneo ya Gairo kwa ajali mbaya ya gari. Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Sadik M. Sadik akizungumza na wafiwa pamoja na waombolezaji waliofika katika viwanja hivyo.
IMG_4494
Pichani kuanzia kushoto ni Mama mzazi wa Mboni Masimba halafu Mboni mwenyewe pamoja na mtoto wa marehemu anaitwa Sonia akiwa na mama yake Monalisa.

IMG_4495IMG_4497IMG_4498IMG_4501IMG_4504IMG_4513IMG_4517IMG_4519IMG_4521IMG_4534IMG_4535Mboni Masimba wa The Mboni Show akiongea kwa UchunguIMG_4542IMG_4545IMG_4550IMG_4553IMG_4554IMG_4557IMG_4561IMG_4563IMG_4568
Mama mzazi wa Lulu pamoja na Mama mzazi wa marehemu Kanumba
IMG_4576
Mwakilishi kutoka BASATA
IMG_4579IMG_4587Dullah wa Planet Bongo nae alikuwepo
IMG_4590Le Mutuzzz nae alikuwepoIMG_4591
Roma na Lady Jay Dee walikuwepo
IMG_4593
Rehema kutoka Visual Lab akiwa kwenye mazunguzo na Roma
IMG_4603IMG_4611
Mwenyekiti wa Bongo Movie Steven Nyerere akizungumza jambo. Picha Zote na www.matukiotz.com

No comments:

Post a Comment