Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya
mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea
nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani
Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya
shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge
Maalum
TPSC YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA KUFANYA TAFITI TUMIZI ZA KUBORESHA UTENDAJI
WA SERIKALI
-
Dar es Salaam, Julai 3, 2026
Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa
mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua ...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment