Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya
mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea
nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani
Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya
shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge
Maalum
TRA Yaendelea na Kampeni ya Elimu ya Kodi kwa Wafanyabiashara Singida
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni yake ya kutoa elimu
ya kodi kwa wafanyabiashara kwa kutembelea maduka moja kwa moja katika
mitaa ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment