Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya
mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea
nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani
Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya
shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge
Maalum
SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO
-
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) amefanya ziara ya kikazi mkoani
Mtwara tarehe 11 Desemba 2025 na kutoa salamu za Mheshimiwa...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment