Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya
mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea
nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani
Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya
shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge
Maalum
MKUTANO WA 24 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA KISEKTA LA AFYA EAC WAANZA DAR ES
SALAAM
-
*Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu akizungumza kwenye ufunguzi
wa Mkutano wa Kawaida wa 24 wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Afya
unaofanyika ...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment