Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya
mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea
nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani
Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya
shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge
Maalum
Blood and Fire in Sudan: The Cries of Innocent Civilians Amid the Fight
Against RSF
-
BY MOSES NTANDU, DAR ES SALAAM
Some villages and towns in Sudan particularly in the regions of West
Darfur, South Darfur, South and North Kordofan, and ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment