BASI LA HOOD LAUNGUA : ABIRIA 55 WANUSURIKA KWENYE BASI LA HOOD KUTOKA ARUSHA KWENDA MBEYA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

Tuesday, 29 April 2014

BASI LA HOOD LAUNGUA : ABIRIA 55 WANUSURIKA KWENYE BASI LA HOOD KUTOKA ARUSHA KWENDA MBEYA

Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment