Meneja wa uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (kushoto) akimkabidhi mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Kiromo sare za shule
zilizotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel mwishoni mwa wiki hii,
akishuhudia makabidhiano hayo (wa pili kushoto) meneja wa huduma
kwa jamii bi Hawa Bayumi akifuatiwa na Mwalimu mkuu wa shule ya
msingi Kiromo Nasib Pangahela, Airtel metoa msaada wa sare za shule
zikiwemo. Kaptura 600 , skirt 600 , mashati 1193 na viatu 728 vyote
vyenye dhamani ya shilingi milioni 50 kwa shule ya msingi Kiromo. Kwa maelezo zaidi bofya hapa >>>
VETA YAJIWEKEA MKAKATI WA UJUZI KWA VIJANA KATIKA KUWAFUNGULIA FURSA ZA
AJIRA
-
Na Mwandishi Wetu, Tanga
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA
Anthony Kasore, amesema mamlaka hiyo imeweka mkakati ...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment