Mkuu
wa chuo cha VETA kipawa, Jijini Dar es Salaam,
Eng. Lucius Luteganya, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa
uzinduzi wa ulipaji ada kwa wanafunzi wa chuo hicho kupitia huduma ya M – Pesa.
Kufuatia ushirikiano kati ya chuo hicho na Vodacom Tanzania. Kushoto ni Mkuu wa
ukuzaji biashara – M - PESA Jackson Kiswaga.
BRELA YAWASISITIZA WANAWAKE FANI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA KULINDA BUNIFU ZAO
-
WAKALA Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imeendelea
kusisitiza umuhimu wa ulinzi wa Miliki Ubunifu kupitia ushirikiano na
wanawake wa fani ...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment