Mkuu
wa chuo cha VETA kipawa, Jijini Dar es Salaam,
Eng. Lucius Luteganya, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa
uzinduzi wa ulipaji ada kwa wanafunzi wa chuo hicho kupitia huduma ya M – Pesa.
Kufuatia ushirikiano kati ya chuo hicho na Vodacom Tanzania. Kushoto ni Mkuu wa
ukuzaji biashara – M - PESA Jackson Kiswaga.
JAB yazindua mwongozo wa kisheria wa kuwatunuku waandishi wa habari
wakongwe ithibati ya maisha
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa
Kisheria wa Utoaji wa Ithibati ya Maisha kwa Waandishi wa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment