Mwenyekiti
wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo kusini Mwa
Afika SADC Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia) akiwa pamoja
na Rais wa Madagascar Andry Rajoelina (kulia),Rais Wa Namibia
Hifikepunye Pohamba (kushoto) na Rais wa Msumbiji Armando
Guebuza, wakati wa kikao cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha
SADC, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Serikali Imeombwa kupeleka Wataalam UDOM ili waweze kubobea katika Fani ya
TEHAMA
-
Na Jane Edward, Arusha
Serikali imeombwa kuwapeleka watalamu katika Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM)ili waweze kupata mafunzo ya ubobezi katika fani ya T...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment