Mwenyekiti
wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo kusini Mwa
Afika SADC Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia) akiwa pamoja
na Rais wa Madagascar Andry Rajoelina (kulia),Rais Wa Namibia
Hifikepunye Pohamba (kushoto) na Rais wa Msumbiji Armando
Guebuza, wakati wa kikao cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha
SADC, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
WASHIRIKI ZAIDI YA 1000 KUSHIRIKI KONGAMANO LA WAFAWIDHI JIJINI ARUSHA
-
NA Vero Ignatus,Arusha
CHAMA cha wafawidhi wa matukio nchini Tanzania (KISIMA CHA MAFANIKIO )
wameandaa kongamano la kuongeza uelewa na maarifa kuhusu ta...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment