Mwenyekiti
wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo kusini Mwa
Afika SADC Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia) akiwa pamoja
na Rais wa Madagascar Andry Rajoelina (kulia),Rais Wa Namibia
Hifikepunye Pohamba (kushoto) na Rais wa Msumbiji Armando
Guebuza, wakati wa kikao cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha
SADC, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
MGAWANYO WA HISA NMB WAFUNGUA MLANGO KWA WAWEKEZAJI WAPYA
-
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NMB Bank PLC, David Nchimbi,
(katikati) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki
hiyo, Ruth Z...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment