Mwenyekiti
wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo kusini Mwa
Afika SADC Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia) akiwa pamoja
na Rais wa Madagascar Andry Rajoelina (kulia),Rais Wa Namibia
Hifikepunye Pohamba (kushoto) na Rais wa Msumbiji Armando
Guebuza, wakati wa kikao cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha
SADC, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
CHATANDA ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA
-
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT)Ndg. Mary Chatanda leo tarehe 06
Julai,2025 ametembelea Banda Jumuishi ya Ofisi ya Waziri Mkuu lililopo
katika V...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment