Bloggers wa Arusha; kutoka kushoto Gadiola Emanuel (Wazalendo25), Woinde Shizza (Libeneke La Kaskazini) ambae pia ni mmiliki wa LIBENEKE PUB iliyoko maeneo ya Sakina, na Victor Machota (Asili Yetu Tanzania) pamoja na Tumainiel Seria (Arusha255) mwenye jezi ya taifa picha inayofuata; wakibadilishana mawazo katika Pub ya Libeneke jioni ya leo
MANYARA TANZANITE MARATHON: LENGO SH1.5 BILIONI KUOKOA WATOTO NJITI
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara
MBIO za hisani za Manyara Tanzanite Marathon 2026 zimefanyika leo katika
Mji wa Babati, mkoani Manyara, huku waandaaji wakiwa n...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment