Bloggers wa Arusha; kutoka kushoto Gadiola Emanuel (Wazalendo25), Woinde Shizza (Libeneke La Kaskazini) ambae pia ni mmiliki wa LIBENEKE PUB iliyoko maeneo ya Sakina, na Victor Machota (Asili Yetu Tanzania) pamoja na Tumainiel Seria (Arusha255) mwenye jezi ya taifa picha inayofuata; wakibadilishana mawazo katika Pub ya Libeneke jioni ya leo
Serikali Yasisitiza Kuongezwa kwa Ruzuku kwa Vijana ili Kuimarisha Sekta ya
Viwanda
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dennis Londo amelipongeza Shirika
la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) kwa kutekeleza ahadi ya siku 100 ya
Rais w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment