Bloggers wa Arusha; kutoka kushoto Gadiola Emanuel (Wazalendo25), Woinde Shizza (Libeneke La Kaskazini) ambae pia ni mmiliki wa LIBENEKE PUB iliyoko maeneo ya Sakina, na Victor Machota (Asili Yetu Tanzania) pamoja na Tumainiel Seria (Arusha255) mwenye jezi ya taifa picha inayofuata; wakibadilishana mawazo katika Pub ya Libeneke jioni ya leo
MAWAKALA WA MILKI NCHINI WATAKIWA KUJISAJILI
-
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya
Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakao...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment