Bloggers wa Arusha; kutoka kushoto Gadiola Emanuel (Wazalendo25), Woinde Shizza (Libeneke La Kaskazini) ambae pia ni mmiliki wa LIBENEKE PUB iliyoko maeneo ya Sakina, na Victor Machota (Asili Yetu Tanzania) pamoja na Tumainiel Seria (Arusha255) mwenye jezi ya taifa picha inayofuata; wakibadilishana mawazo katika Pub ya Libeneke jioni ya leo
FILAMU YA KITANZANIA SENTINELS OF ENGARUKA KURUSHWA YOUTUBE JUNI 21
-
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Kitanzania ya Ngoteya Wild, inayoongozwa na muandaaji wa makala
zenye maudhui ya uhifadhi na wanyamapori @Hans_Cosmas_Ngot...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment