Bloggers wa Arusha; kutoka kushoto Gadiola Emanuel (Wazalendo25), Woinde Shizza (Libeneke La Kaskazini) ambae pia ni mmiliki wa LIBENEKE PUB iliyoko maeneo ya Sakina, na Victor Machota (Asili Yetu Tanzania) pamoja na Tumainiel Seria (Arusha255) mwenye jezi ya taifa picha inayofuata; wakibadilishana mawazo katika Pub ya Libeneke jioni ya leo
TPDC YANG'ARA KATIKA MAONESHO YA 49 YA SABASABA, YASHINDA TUZO YA MAZINGIRA
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika
Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama
Sabasaba, b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment