Maeneo ya kupumzikia jijini Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Tuesday, 14 August 2012

demo-image

Maeneo ya kupumzikia jijini Dodoma

g1
Eneo la mzunguko,lina mandhari nzuri sana hasa kupigia picha za aina mbalimbali.
g2
Nyerere square ni sehemu maarufu watu wanapumzika na kupiga picha za aina Mbalimbali,jijini Dodoma.
g3
Watu wakipumzika na kutafakari maisha mazuri ya Kitanzania.
g4
Huu ndio mnara wa sanamu ya Baba wa Taifa la Tanzania , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere uliopo jijini Dodoma.
g5
Viwango na masharti kuzingatiwa upitapo Nyerere Square jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *