Matukio mbalimbali katika safari kuelekea dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 13 August 2012

demo-image

Matukio mbalimbali katika safari kuelekea dodoma

g1
Mitaa ya Liverpool-mombo
g2
Mkutano...??usalama..?? zinauzwa..??
g3
Kila sehemu Tanzania kuna tatizo la maji.
g4
Ndani ya mabasi lazima ukute bango hili la usalama wa barabarani,dereva akiendesha kwa kasi unapiga simu hizo kwa haraka.
g5
Maeneo ya kabuku ndipo machungwa mazuri yapatikana.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *