WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA PSPTB NA KUKAGUA UJENZI WA JENGO LA (EAC) - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


15 Dec 2011

WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA PSPTB NA KUKAGUA UJENZI WA JENGO LA (EAC)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, , Mheshimiwa Pireira Ame Silima (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya The Procurement and Supplies Proffessionals and Technician Board (PSPTB), Bw. Noel Mrope baada ya kufungua mkutano wa mwaka wa PSPTB kwenye kituo cha kimataifa cah mikutano cha AICC mjini Arusha , December 14,2011.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu, Mwenyekiti wa Bodi ya The Procurement and Supplies Professionals and Technician Board (PSPTB), Sister Catherene Bandiho(kushoto) baada ya kufungua mkutano wa mwaka wa bodi hiyo kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha AICC, Desemba 14, 2011. Watatu kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPTB, Noel Mrope.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda , akikagua ujenzi wa jengo la ofisi za makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Mjini Arusha Desemba 14, 2011ambalo linatarajiwa kuwa limekamilka ifikapo Februari mwakani. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo hilo, Phil Klerruu na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya anayeshughulia Fedha na Utawala, Dr. Rotich. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad