Matukio : Lowassa Azunguka na Daladala hadi Gongo la Mboto Kusikiliza Kero za Wananchi - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


24 Aug 2015

Matukio : Lowassa Azunguka na Daladala hadi Gongo la Mboto Kusikiliza Kero za Wananchi


Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa Katiba ya wananchi, UKAWA, Edward Lowassa leo ametembelea maeneo ya gongo la Mboto na kuzungumza na wananchi kadhaa akitumia usafiri wa daladala.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad