Mgombea
Urais kwa Tiketi ya Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye
anaungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa Katiba ya wananchi, UKAWA,
Edward Lowassa leo ametembelea maeneo ya gongo la Mboto na kuzungumza na
wananchi kadhaa akitumia usafiri wa daladala.
WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA WASISITIZWA UZALENDO
-
Na Elizaberth Msagula,Lindi
VIJANA waliohitmimu mafunzo ya awali ya kijeshi ya jeshi la kujenga Taifa
(JKT) wamehimizwa uzalendo,uaminifu na uadilifu k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment