MAFURIKO NDANI NA NJE YA JIJI LA DAR : TASWIRA YA MAFURIKO YATOKANAYO NA MVUA KUBWA ZINAZOENDELEA KUNYESHA JIJINI DAR - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


15 Apr 2014

MAFURIKO NDANI NA NJE YA JIJI LA DAR : TASWIRA YA MAFURIKO YATOKANAYO NA MVUA KUBWA ZINAZOENDELEA KUNYESHA JIJINI DAR

 Baadhi ya Nyumba zikiwa zimezungukwa na maji katika Eneo la Mzambarauni Mkoa wa Morogoro kutokana na Mvua zilizo nyesha.
Huyu jamaa anasubiri manusura.....hap jijini Dar

Maji ya mvua yaliyosababisha mafuriko yakipita kwa kasi katika daraja la Mzambarauni mjini Morogoro.
Hapa ni eneo la Msasani jijini Dar....jamaa wakijaribu kuokoa baadhi ya mali zao walizofanikiwa kuwahi.
 Nyumba zikiwa zimezungukwa na maji....
Jamaa akiduwaa asijue la kufanya....
 Mtoto huyu akijitahidi kupunguza maji yaliyojaa ndani kwao kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha na kusababisha mafuliko Mkoa wa Morogoro.
 Wakazi wa Morogoro wakipita ndani ya maji kutokana na Mvua kubwa iliyosababisha mafuliko leo.
 Nyumba iliyokuwa ikiendelea kujengwa ikiwa imeezuliwa na upepo huku ikiwa imezungukwa na maji.
 Hatari tupu hapa hata wasafiri hawakuweza tena kuingia eneo hili kupata chochote kutokana na eneo hili kujaa maji.
Wakazi wa Morogoro wakiangalia baadhi ya nyumba zilizoezuliwa na upepo na kuzingirwa na maji.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad