Kimataifa : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Afanya Mazungumzo na Waziri Muu wa Grenada New York Marekani - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

23 Sept 2024

Kimataifa : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Afanya Mazungumzo na Waziri Muu wa Grenada New York Marekani


RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Dickon Mitchell, Waziri Mkuu wa Grenada, Jijini New York, Marekani. 

Katika mazungumzo yao, Mwenyekiti wa GPE ameahidi kushirikiana na Visiwa vya Grenada ili kupatia ufumbuzi hitaji la elimu kwa njia ya mtandao (digital learning) ambalo taifa hilo linahitaji kuwezesha upatikanaji wake kwa wanafunzi wa elimu msingi (basic education) yaani, chekechea, msingi na sekondari.





No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633