Kimataifa : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Afanya Mazungumzo na Waziri Muu wa Grenada New York Marekani - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 23 September 2024

demo-image

Kimataifa : Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Afanya Mazungumzo na Waziri Muu wa Grenada New York Marekani


WhatsApp%20Image%202024-09-23%20at%209.27.05%20AM

RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Dickon Mitchell, Waziri Mkuu wa Grenada, Jijini New York, Marekani. 

Katika mazungumzo yao, Mwenyekiti wa GPE ameahidi kushirikiana na Visiwa vya Grenada ili kupatia ufumbuzi hitaji la elimu kwa njia ya mtandao (digital learning) ambalo taifa hilo linahitaji kuwezesha upatikanaji wake kwa wanafunzi wa elimu msingi (basic education) yaani, chekechea, msingi na sekondari.

WhatsApp%20Image%202024-09-23%20at%209.27.06%20AM

WhatsApp%20Image%202024-09-23%20at%209.27.06%20AM%20(1)

WhatsApp%20Image%202024-09-23%20at%209.27.07%20AM

WhatsApp%20Image%202024-09-23%20at%209.27.07%20AM%20(1)

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *