Siasa : Mbowe, Lissu wakamatwa Mbeya,Chadema watoa tamko, “tunataka waachiwe” - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 12 August 2024

demo-image

Siasa : Mbowe, Lissu wakamatwa Mbeya,Chadema watoa tamko, “tunataka waachiwe”


kazi-kazi.00_37_24_11.Still040-950x534

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam mchana wa siku ya Jumatatu Agosti 12, 2024 Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara Benson Kigaila amesema kuwa kukamatwa kwa viongozi hao wakiwemo wanachama wa chama hicho, vijana, na waandishi wa habari ni kinyume cha sheria na taratibu za nchi hivyo kulitaka Jeshi la Polisi kuwaachia mara moja.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *