Siasa : Mbowe, Lissu wakamatwa Mbeya,Chadema watoa tamko, “tunataka waachiwe” - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

12 Aug 2024

Siasa : Mbowe, Lissu wakamatwa Mbeya,Chadema watoa tamko, “tunataka waachiwe”


Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam mchana wa siku ya Jumatatu Agosti 12, 2024 Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara Benson Kigaila amesema kuwa kukamatwa kwa viongozi hao wakiwemo wanachama wa chama hicho, vijana, na waandishi wa habari ni kinyume cha sheria na taratibu za nchi hivyo kulitaka Jeshi la Polisi kuwaachia mara moja.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633