Matukio :Maafisa Habari, TEHAMA ni Mawakala wa Mabadiliko - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


13 Feb 2018

Matukio :Maafisa Habari, TEHAMA ni Mawakala wa Mabadiliko






Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mara,Raphael Joseph Nyanda akifungua Semina kwa Maafisa hao wa Mkoa wa Mara na Arusha.

Dkt. Peter Kilima, Mkurugenzi wa Utawala Bora na Ushirikishwaji wa Wananchi kutoka PS3, akizungumza wakati wa Mafunzo hayo

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Maelezo anayeshghulikia Habari na picha akitoa Salama za Idara wakati wa Semina hiyo

Bibi Rebecca Kwandu, Mkuu wa Mawasiliano Serikalini kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, akitoa Malengo ya Mafunzo hayo kwa Mikoa ya Mara na Arusha.

Baadhi ya Wakufunzi wa mafunzo wakifatilia kwa Makini Hotuba ya Ufunguzi.

Athuman Pemba Mmoja ya Watoa mada, akiwa anaendelea na Utoaji mada mara baada ya Ufunguzi.

Mkuu wa Mawasiliano kutoka OR TAMISEMI, Bibi Rebecca Kwandu, akiteta jambo na Kaimu Katibu Tawala Mkoa muda mfupi kabla ya Ufunguzi wa Mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad