Elimu : Latifa Kanyanga Asherehekea Mahafali yake ya Kidato cha Nne - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


19 Oct 2017

Elimu : Latifa Kanyanga Asherehekea Mahafali yake ya Kidato cha Nne



Afisa elimu Wilaya Ubungo, akizungumza wakati wa Mahafali ya 18 ya shule ya Sekondari ya Green Acres yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Mwanafunzi Latifa Kanyanga akipokea cheti kutoka kwa mgeni Rasmi katika mahafali ya 18 ya kidato cha 4 katika Shule ya Sekondari ya Green Acres

Mwanafunzi Latifa Kanyanga akisoma Risala wakati wa Mahafali ya 18 ya Shule ya Sekondari ya Green Acres

Mwanafunzi Latifa Kanyanga akicheza wakati wa mahafali ya 18 ya Sekondari ya Green Acres

Nasra Mushi akimlisha keki Mama yake , Evelyn Kanyanga katika Mahafali ya 18 ya shule ya sekondari ya Green Acres

Mwanafunzi Latifa Kanyanga akipokea Zawadi ya Laptop kutoka kwa Mama yake Evelyn Kanyanga mara baada ya Mahafali ya 18 ya shule ya Sekondari ya Green Acres

Ndugu na jamaa wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad