Nishati : Mgodi wa Acacia Bulyanhulu wa Waaga Wafanyakazi wake - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 18 September 2017

demo-image

Nishati : Mgodi wa Acacia Bulyanhulu wa Waaga Wafanyakazi wake


DSC_1445
Lango kuu la kuingilia kwenye Sherehe.




DSC_1429
Kushoto ni Meneja Ufanisi na Mahusiano BMGL Elias Kasitila (katikati) ni Meneja Mkuu Mahusiano Serikalini Asa Mwaipopo na Meneja Mkuu BGML Graham Crew wakizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua ya kuwaaga wafanyakazi na kupunguza baadhi ya shughuli ambazo zilikuwa zikifanyika mgodini Hapo.




DSC_1432
Baadhi ya waandishi wa habari wakiendelea na majukumu yao wakati ya kikao na uongozi wa mgodi huo.




DSC_1450
Baadhi ya wafanyakazi wakifuatilia shughuli ya sherehe ya kuagwa.




DSC_1459
Wafanyakazi wa BGML pamoja na viongozi na Meneja Mkuu wa mgodi Graham Crew wakikata keki kwa pamoja kuashiria mshikamano na umoja.




DSC_1472
Meneja Mkuu wa mgodi wa BMGL Graham Crew Akizungumza na wafanyakazi pamoja na kuwaaga wakati wa sherehe.




DSC_1479
Wafanyakazi wakimsikiliza Meneja Mkuu wakati alipokuwa akiwaaga.




DSC_1515
Msanii Mrisho Mpoto Akitumbuhiza pamoja na Bendi yake wakati wa sherehe za kuwaaga wafanyakazi wa Mgodi huo.




DSC_1464






DSC_1518
Baadhi ya wasanii wa kundi hilo wakiwa kwenye shughuli hiyo .



DSC_1520
Msanii Ismail akiwaburudisha wafanyakazi kwa Wimbo wa Songa songa mbele usirudi Nyuma.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *