Matukio Ughaibuni : Mahojiano na Mch Absalom Nasuwa kuhusu Mkutano wa Askofu Gwajima DC - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Aug 2017

Matukio Ughaibuni : Mahojiano na Mch Absalom Nasuwa kuhusu Mkutano wa Askofu Gwajima DC



Karibu na asante kwa kujiunga nasi

Kanisa la Umoja International Outreach lililopo jijini Dallas Texas limeandaa mikutano ya injili katika maeneo ya Texas na Washington DNV.

Mwanzilishi na Mchungaji kiongozi wa kanisa hilo, Mch. Absalom Nasuwa alizungumza nami kuhusu mkutano huo

KARIBU




Pia Mch Nasuwa alizungumzia huduma yake

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad