Chadema Yawatimua Madiwani Wake Watano Mkoani Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 7 August 2011

demo-image

Chadema Yawatimua Madiwani Wake Watano Mkoani Arusha

03_11_951gvp
 Katibu Mkuu Wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa



Hatimaye kwa ujasiri bila woga wala kulindana, kamati kuu ya Chadema imewatimua madiwani wake watano mkoani Arusha ambao walikiuka maagizo ya chama na kuingia muafaka kinyemela na CCM, kisha wakapewa vyeo vya unaibu Meya na kamati mbili za kudumu.
Hongera CHADEMA hayo ndiyo maamuzi ya kweli kwa maana nyie mliandamana Arusha kupinga mfumo potofu uliyomuweka Meya madarakani na si kupewa cheo cha unaibu Meya na kamati, Bila shaka wakazi wa Arusha watawaelewa na kuwapa tena viti hivyo.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *