Afya : Magari Matatu (3) ya Wagonjwa yatolewa kwa Mikoa ya Nkasi,Shinyanga na Tabora - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


11 May 2017

Afya : Magari Matatu (3) ya Wagonjwa yatolewa kwa Mikoa ya Nkasi,Shinyanga na Tabora



Magari matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Magari matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy, Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy, Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akikabidhiwa ufunguo wa gari la kubebea wagongwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akionesha ufunguo wa gari la kubebea wagongwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tabora Mhe. Munde Tambwe akikabidhiwa ufunguo wa gari la kubebea wagongwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy, Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe wakiwa na magari ya kubebea wagongwa waliyopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016


Mbunge wa Nkasi Mhe Ali Mohamed Kessy akiwa na gari la kubebea wagonjwa alilokabidhiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016
Mbunge wa Nkasi Mhe Ali Mohamed Kessy akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Munde Tambwe akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Lucy Mayenga akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwakaribisha Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy, Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy, Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Mei 9, 2016.
Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad