Matukio : Majaliwa awasili Wilaya ya Longido na Kuzungumza na Watumishi - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Saturday, 17 December 2016

demo-image

Matukio : Majaliwa awasili Wilaya ya Longido na Kuzungumza na Watumishi


RG1A7958
RG1A7960
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Londoluo waliomsimamisha akiwa njiani kutoka Loliondo kwenda Longido mkoani Arusha Desemba 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RG1A7983
RG1A7986
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa wilaya ya Longido baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Halmashauri hiyo Desemba 16, 2016. RG1A8025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na halmashauri ya wilaya ya Longido kwenye ukumbi wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere uliopo kwenye Ofisi za halmashauri hiyo Desemba 16, 2016.
RG1A7992
Baadhi ya watumishi wa serikali na halmashauri ya wilaya ya Longido wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere uliopo kwenye Ofisi za halmashuri hiyo Desemba 16, 2016.
RG1A8005
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe akiwasalimia watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Longido kabla ya kumwalika Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa kuzungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo wa Julius Kambarage Nyerere Desemba 15, 2016.
RG1A7998
Mkuu wa Wilaya ya Longido , Daniel Chongolo, akisoma taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa halmashuri hiyo wa Julius Kambarage Nyerere Desemba 16, 2016.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *