Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson
(kulia), wa timu ya Bunge akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake
walipocheza na timu ya Wilaya ya Chato katika mchezo wa kirafiki wa
netiboli uliofanyika hivi karibuni kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
TANZANIA YACHAGULIWA MAKAMU WA RAIS WA TUME YA SHIRIKIA LA HALI YA HEWA
DUNIANI
-
Geneva, Uswisi
TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa
Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment