Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson
(kulia), wa timu ya Bunge akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake
walipocheza na timu ya Wilaya ya Chato katika mchezo wa kirafiki wa
netiboli uliofanyika hivi karibuni kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
JAB YAZINDUA MWONGOZO WA ITHIBATI YA MAISHA KWA WAANDISHI WA HABARI WAKONGWE
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa
Kisheria wa Utoaji wa Ithibati ya Maisha kwa Waandishi wa ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment