Matukio : Taswira mbalimbali kutoka Bungeni Novemba 9,2016 Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


10 Nov 2016

Matukio : Taswira mbalimbali kutoka Bungeni Novemba 9,2016 Dodoma



dl07
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson akiongoza kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl11
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani  akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl12
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Ole Nashi  akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl13
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Medard Kalemani  akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl14
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba  akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl15
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Philip Mpango akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl16
Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Iringa Mhe. Dkt Christine Ishengoma akiuliza swali  katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl17
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akijadilana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl18
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (kulia) akijadilana jambo na Wazirin wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. George Simbachawene katika kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
Picha zote na Idara ya Habari MAELEZO Dodom

   



Baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwasili katika viwanja vya Bunge kuhudhuria kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl2
Baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwasili katika viwanja vya Bunge kuhudhuria kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.
dl4
Baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwasili katika viwanja vya Bunge kuhudhuria kikao cha saba cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 9, 2016.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad