Biashara : Mkutano wa Wanahisa wa TADB wafanyika - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


15 Nov 2016

Biashara : Mkutano wa Wanahisa wa TADB wafanyika


Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence N. Mafuru (Wapili Kulia) akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) uliofanyika katika Ukumbi wa Benki hiyo.
Baadhi ya viongozi waandamizi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) wakifuatilia Mkutano huo.


Mmoja wa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bw. Migangala S. Milenge (Katikati) akichangia mada wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) uliofanyika katika Ukumbi wa Benki hiyo. Wengine pichani ni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki hiyo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Rosebuld V. Kurwijila (Kulia) akifafaua hoja mbalimbali wakati wa Mkutano huo. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bw. Francis J. Assenga.

Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence N. Mafuru (Kulia aliyeinama) akisaini Kitabu cha Wageni wakati alipowasili kuhudhuria Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Wanaomtazama ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Rosebuld V. Kurwijila (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bw. Francis J. Assenga (Kushoto).
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Rosebuld V. Kurwijila (Kushoto) akifungua Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) uliofanyika katika Ukumbi wa Benki hiyo.
Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya TADB, Bibi Neema C. John (Kushoto) akisoma agenda za Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) uliofanyika katika Ukumbi wa Benki hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bw. Francis J. Assenga.

Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TADB wakifuatilia Mkutano huo.
Washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Wenye Hisa wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) wakiwa katika picha ya pamoja na Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence N. Mafuru (Katikati waliokaa) mara baada ya kumalizia Mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad