Utalii : Wanahabari watembelea hifadhi ya Taifa ya milima ya Mahale - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Tuesday, 28 June 2016

demo-image

Utalii : Wanahabari watembelea hifadhi ya Taifa ya milima ya Mahale


IMG_7541
IMG_7543
Baadhi ya Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale inayosifika kwa uwepo wa Sokwe Mtu.
IMG_8004
Usafiri unaotegemewa katika Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale ni Boti na Mitumbwi .
IMG_7958
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ,Pascal Shelutete (Mwenye kofia) akiwa na Mkuu wa Idara ya Ujirani Mwema wa Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale ,Romanus Mkonda wakielekea katika vijiji vinavyopakana na Hifadhi hiyo,Wengine ni wmwandishi wa gazeti la Uhuru,Jackline Massano na kulia ni Mhariri wa gazeti la Jamhuri ,Mkinga Mkinga.
IMG_8001
Wanahabari ,Said Mnekano maarufu kama Bonge wa Clouds fm,aliyesimama nyuma.akiwa na Asiraji Mvungi pamoja na muongoza watalii ,Rashid Omary wakiwa katika moja ya boti zinazotumika kama njia ya usafiri katika Hifadhi ya  Taifa ya Mahale.
IMG_8021
IMG_8032
Waandishi ,Beatrice Shayo na Nora Damian wakijaribu kushuka kutoka katika boti.
IMG_8289
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete akionozana na wanahabari kutembelea kijiji cha Nkokwa kinachopakana na Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale.
IMG_8298
IMG_8295
IMG_8290
Ili kuwafikia wananchi maeneo mengine wanahabari walilazimika kuvua viatu na kupita katika maji.
IMG_8273
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAP A) akizungumza na wananchi katika kijiji cha Nkonkwa wilayani Uvinza.
IMG_8266
Baadhi ya wananchi wanaounda vikundi vya wajasilaimali wakimsikiliza Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa nchini (TANAPA) Pascal Shelutete (hayupo pichani ) alipoongozana a wanahabari kutembelea vijiji vinavypakana na Hifadhi ya Taifa ya Miima ya Mahale.
IMG_8277
Mkuu wa Idara ya Ujirani Mwema katika Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale ,MhifadhiRomanus Mkonda akizungungmza katika kikao hicho.
IMG_8307
Kijana mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akijaribu kusukuma chombo chake kwa kutumia kandambili wakati akisafiri katika ziwa Tanganyika.

Na Dixon Busagaga wa Michuzi blog aliyeko mkoani Kigoma.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *