Mfuko wa Jamii : Bodi mpya ya NHIF yazinduliwa jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


13 Jun 2016

Mfuko wa Jamii : Bodi mpya ya NHIF yazinduliwa jijini Dar


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akikata utepe kwenye vitabu ambavyo ni muongozo wa kazi kwa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ikiwa ni ishara ya Uzinduzi wa Bodi hiyo, uliofanyika Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Michael John na Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akimkabidhi vitendea kazi, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda ikiwa ni ishara ya Uzinduzi wa Bodi hiyo, uliofanyika Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Michael John.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba yake wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), uliofanyika Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda, akitoa shukrani zake baada ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), uliofanyika  Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Rehani Athuman akizungumza machache wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), uliofanyika Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga akitoa hotuba yake wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), uliofanyika Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga kwa pamoja wakimsikiliza kwa makini Mgeni rasmi alipokuwa akitoa hotuba yake, katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), uliofanyika leo Juni 11, 2016 kwenye Makao Makuu ya Mfuko huo, Kurasini Jijini Dar es salaam.
Wajumbe wapya wa Bodi Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wakifatilia hotuba ya mgeni rasmi.


 



















No comments:

Post a Comment

Post Top Ad