Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco)
Mhandisi Cyprian Luhemeja akipokea zawadi ya shilingi milioni 3.5 kutoka kwa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh Dkt. John Magufuli baada ya kutangazwa kuwa mfanyakazi bora wa mwaka kitaifa
kwenye siku ya Wafanyakazi Dunia, Mei mosi iliyoadhimishwa kitaifa mkoani Dodoma.
TIRDO YAFANIKISHA KUFUNGA MTAMBO UNAOONDOA GANDA LAINI LA KOROSHO
-
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikisha
kufungwa kwa mtambo unaoondoa ganda laini la korosho ili kuongeza thamani
zao hil...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment