Tuzo :Afisa Mtendaji Mkuu DAWASCO aibuka mfanyakazi bora wa mwaka Kitaifa - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 5 May 2016

demo-image

Tuzo :Afisa Mtendaji Mkuu DAWASCO aibuka mfanyakazi bora wa mwaka Kitaifa


daw1
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja akipokea zawadi ya shilingi milioni 3.5 kutoka kwa Rais wa  Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt. John Magufuli baada ya kutangazwa kuwa mfanyakazi bora wa mwaka kitaifa kwenye siku ya Wafanyakazi Dunia, Mei mosi iliyoadhimishwa  kitaifa mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *