Mbunge wa Mbeya mjini ambaye ni msanii wa kitambo wa hiphop Tanzania
Joseph Mbilinyi (Mr. II Sugu) aliahidi wiki kadhaa zilizopita kwamba
ataachia video yake mpya baada ya kimya kirefu kwenye bongofleva, hii
inaitwa ‘Freedom‘ ikiwa ni kazi ya mikono ya MJ Records.
Ndani wameonekana mastaa kadhaa wa bongo akiwemo Roma Mkatoliki,
Producer Master J na Profesa Jay ambapo Mr. II kaiwakilisha Mbeya vizuri
kwa kuvaa jezi ya Mbeya City Football Club pamoja na kofia yenye chata
ya Mbeya.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment