Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa Tengeru nje kidogo ya Jiji la Arusha mara baada
ya kuwasili kwa ajili ya Uzinduzi rasmi wa Barabara ya
Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje kidogo ya jiji
la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkaribisha Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kabla ya uzinduzi rasmi wa
Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje
kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kabla ya uzinduzi rasmi wa
Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje
kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkaribisha Rais wa Uganda Yoweri Museveni kabla ya uzinduzi rasmi wa
Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje
kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
amesimama pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, Uganda, Yoweri
Meseveni na Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein wakati Wimbo wa Jumuiya
ya Afrika Mashariki ukipigwa kabla ya uzinduzi wa barabara ya
Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje kidogo ya jiji
la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
mamia ya wananchi wa Arusha hawapo pichani kabla ya ya uzinduzi rasmi wa
Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje
kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katikati
akiwaongoza Marais wa Kenya, Uganda, Makamu wa Rais wa Sudani Kusini
pamoja na Burundi kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mitambo
itakayotumika katika ujenzi wa barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km
234.3 uliofanyika Tengeru nje kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwagilia
mti maji pamoja na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(Nairobi)
Gabriel Negata mara baada ya uzinduzi wa barabara ya
Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje kidogo ya jiji
la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya sherehe za unzinduzi wa
barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3 uliofanyika Tengeru nje
kidogo ya jiji la Arusha.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
pamoja na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Nchi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada ya sherehe za
uzinduzi wa barabara hiyo kukamilika.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(Nairobi) Gabriel Negata mara
baada ya uzinduzi wa barabara hiyo ya Arusha-Holili/Taveta-Voi Km 234.3
uliofanyika Tengeru nje kidogo ya jiji la Arusha. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment