Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM, amejumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Joakimu Mhagama, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.
Akwilapo Atangaza Vita Dhidi ya Uzembe Sekta ya Ardhi, Azindua “Samia Ardhi
Kliniki” Kuimarisha Haki za Wananchi
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo,
ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Da...
8 hours ago





No comments:
Post a Comment