Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM, amejumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Joakimu Mhagama, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.
NMB Yaongeza Masuluhisho ya Kisekta kwa Wafanyabiashara
-
Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia
masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi.
Kauli hiyo ilit...
4 hours ago





No comments:
Post a Comment