Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM, amejumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Joakimu Mhagama, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.
MAMIA WAFURIKA KATIKA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO INAYOENDESHWA NA MUHIMBILI
ZANZIBAR
-
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya
Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbi...
7 hours ago





No comments:
Post a Comment