Matukio: RC Mahiza afungua mkutano wa baraza la wafanyakazi (NHIF) Mjini, Tanga - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


22 Feb 2016

Matukio: RC Mahiza afungua mkutano wa baraza la wafanyakazi (NHIF) Mjini, Tanga

Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando akizungumza Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando kushoto akiingia kwenye ukumbini wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa mfuko huo wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza na wa mwisho kulia ni Meneja wa NHIF Mkoa wa Tanga,Ally Mwakababu.
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti akifuatilia kwa umakini hotuba ta mkuu wa mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini Tanga. 
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti wa kwanza kushoto akiimba nyimbo ya solidarite na wafanyakazi wenzake wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini Tanga.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakifuatilia mambo mbalimbali wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini Tanga. 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)wakiwa mkutanoni leo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kulia kwake ni Kaimu Mkuu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Michael Mhando,Picha na Tanga Raha Blog.
Kaimu Mkuu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Michael Mhando akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga mara baada ya kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad