Michezo : Taswira mbali mbali ya Mapokezi ya Mchezaji Bora wa Afrika Mbwana Samatta, Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 10 January 2016

demo-image

Michezo : Taswira mbali mbali ya Mapokezi ya Mchezaji Bora wa Afrika Mbwana Samatta, Jijini Dar

IMGS9704Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika wa Wachezaji wa Ndani 2015, Mbwana Samata akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Abuja, Nigeria katika hafla ya utoaji tuzo kwa mwanamichezo bora. (Picha na Francis Dande) 
IMGS9689
 Mchezaji Boara wa Afrika, Mbwana Samata akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Abuja, Nigeria. Kulia ni mzee Ali Samataakimlaki mtoto wake.
IMGS9704
 Mbwana akiwapungia mkono mashabiki waliofika uwanja wa Ndege kumpokea.
IMGS9736
 Mbwana Samata akiangalia tuzo yake.
IMGS9738
 Mashabiki wa soka wakimpokea Mbwana Samata.
IMGS9758
 Mbwana akifurahia tuzo yake.
IMGS9826
 Mbwana akiwa amezongwa na mashabiki wa soka waliokuja kumpokea.
IMGS9830
 Samata akiwa amepozi kwa picha.
IMGS9874
 Waandishi wa habari wakifanya mahojiano.
IMGS9957
 Maashabiki wa Mbwana Samata wakijaribu kuzuia gari alilopanda.
IMGS9300
 Mashabiki waliokuja kumpokea wakicheza kwa furaha.
IMGS9301
 Ngoma za kila aina zilikuwepo Uwanja wa Ndege wakati wa mapokezi ya Samata.
IMGS9337
 Mzee Ali Samata akifurahia tuzo aliyopata mtoto wake.
IMGS9384
 Umati wa watu waliojitokeza katika mapokezi ya Samata.
IMGS9446
 Wadau
IMGS9451
 Vikundi mbalimbali vikitumbuiza.
IMGS9467
 Mzee Ali Samata akiwa na mkewe wakati wa mapokezi ya mtoto wao.
IMGS9573
 Mzee Ali Samata akisalimia na Naibu Mkurugenzi Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Yasoda.
IMGS9657
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mapokezi ya Mchezji Bora wa Afrika, Mbwana Samata.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *