Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es salaam katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo January 1, 2016. Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana jioni kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake. PICHA NA IKULU
MIAKA 19 YA GF TRUCKS YANUFAISHA VIJANA WA KITANZANIA KATIKA AJIRA
-
Katika kuadhimisha miaka 19 ya kuanzishwa kwa kiwanda cha kuunganisha
magari cha GF, uongozi wa kiwanda hicho umesema unajivunia kuwa sehemu ya
kuzalish...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment