Maisha na Habari : Mtangazaji wa Dira ya Dunia Salim Kikeke Atembelea Ofisi za Michuzi Blog, Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 26 August 2015

demo-image

Maisha na Habari : Mtangazaji wa Dira ya Dunia Salim Kikeke Atembelea Ofisi za Michuzi Blog, Jijini Dar

IMG_7332
Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke alipotembelea katika ofisi za MICHUZI MEDIA GROUP (MMG), jijini Dar es Salaam.
IMG_7542
Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke akifanya mahojiano na Michuzi tv online na  Michuzi Blog,Chalila Kibuda  jijini Dar es Salaam.
IMG_7404
 Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Michuzi Media Group jijini Dar es Salaam leo.
IMGL7592
Mkurugenzi mkuu wa Michuzi Media Group, Muhidini Issa Michuzi, akisalimiana na Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke jijini Dar es Salaam. 
IMGL7585Kutoka kulia ni Mkurugenzi mkuu wa Michuzi Media Group, Muhidini Issa Michuzi,Mpiga picha za Video, Bakari Issa Madjeshi,Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke,Mwandishi wa habari ,Chalila Kibuda, Mwandishi wa habari na Mpiga picha Avila Kakingo na Mpondela  wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya mahojiano na Mtangazaji wa BBC  jijini Dar es Salaam.
IMGL7588

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *