Matukio : Sherehe za Mei Mosi Zilivyofana Jijini Dar Leo - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 1 May 2015

demo-image

Matukio : Sherehe za Mei Mosi Zilivyofana Jijini Dar Leo


IMG_4511
Bendi ya Jeshi la polisi wakiwa katika maandmano ya siku ya wafanyakazi yaliyofanyika katika viwanja vya uhuru jijini Dar es salaam leo.
IMG_4573
 Maandamano ya siku ya wafanyakazi (Mei mosi ) wa DOWUTA TICTS.
IMG_5419
Wafanyakazi wa Kampuni ya uchapishaji wa Magazeti ya Daily, Sunday News na Habari leo (TSN) wakipita na bango lao wakati wa kuadhimisha siku ya Wafanyakazi (Mei Dei), leo jijini Dar es salaam.
IMG_4517
 Maandamano ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (Mei mosi), yaliyofanyika katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
IMG_4535
Maandamano ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (Mei mosi), hawa ni chama cha wafanyakazi mashambani na kilimo Tanzania tawi la TPAMU makao makuu wakiwa katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam leo.
IMG_4580
 wafanyakazi wa Bandari ya Dar es Salaam wakiwa na kauli mbiu ya DOWUTA kauli moja na Nguvu imara,wakiwa katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam leo.
IMG_5368
 Wakiwa katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam leo kusherekea Sikukuu ya wafanyakazi wakiwa na kauli mbiu ya MFANYAKAZI NENDA KAJIANDIKISHE KURA YAKO NDIO MAENDELEO YA TAIFA LETU.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *