JUMLA dola za Kimarekani Milioni 31 (zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania)
zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam TV, zilizopo eneo la
Tabata Relini, Dar es Salaam.Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando
wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari,
Tabata, Dar es Salaam. Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari
zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na
Mwananchi Communication Limited (MCL), amesema studio hizo zina ubora
kuliko nyingine zote nchini. Kwa Maelezo Zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment