Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa
habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi
ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu
hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa
watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia
yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa badala yake alifanya
sara kwani uvumi huo wawezekana inatokana na vuguvugu la uchaguzi....Kwa Maelezo Zaidi BOFYA HAPA >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment