Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa
habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi
ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu
hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa
watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia
yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa badala yake alifanya
sara kwani uvumi huo wawezekana inatokana na vuguvugu la uchaguzi....Kwa Maelezo Zaidi BOFYA HAPA >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
KENYA YATOA HATI ZA VYUO VIKUU KWA KAIST NA KEMRI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Serikali ya Kenya imetoa hati rasmi za vyuo vikuu kwa Kenya Advanced
Institute of Science and Technology na Kenya Medical Research I...
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
TCAA Yatoa Msaada kwa Kituo cha Tupendane Dodoma
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), kama sehemu ya kurudisha kwa
jamii, imetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto cha Tupendane
kilichopo ji...
No comments:
Post a Comment