Kiongizi
Mkuu
wa chama hicho na akiliyekua Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zitto Kabwe. akizungumza na
wanachama Mbalimbali toka Nje na Ndani ya Dar es salaam katika uzinduzi
wa chama hicho na kuwaomba wanachama popote walipo waipigie Kura ya
Hapana Katiba Pendekezwa.
Kikundi
cha Ngoma ya Asili ya Kutoka Kigoma kwa jina maarufu kwa Mkoa huo wa
kigoma inaitwa Usambere ikitoa burudani katika uzinduzi huo
Wanachama wa chama hicho kwa makundi mbalimbali wakiingia katika ukumbi kwa nyakati tofauti
Wafuasi wa Chama hicho wakiwa na mabango wakiingia Ukumbini
Wafuasi wa Chama hicho wakiwa na mabango yenye Ujumbe tofauti wakiingia Ukumbini
Wafuasi wa Chama hicho wakiwa na mabango yenye Ujumbe tofauti wakiingia Ukumbini
Wanakikundi
wa kasimbo Asili, toka Mkoa wa Kigoma Kijiji cha Nyarubanda Kataa ya
Mkigo Wilaya ya Kigoma wakitoa salam ya Chama hicho wakiwa wanajiandaa
kuingia kwa Nyimbo za Ali ya Mkoa wao katika Mkutano wa Uzinduzi wa
Mkutano wa Alliance for change and Transparecy (ACT)
Baadhi ya Wafuasi wa Chama hicho wakiingia Ukumbini
Msanii
Afande Sele akiwa na wanachama wa Alliance for change and Transparecy
(ACT) katika Picha ya pamoja kwenye Uzinduzi wa Chama hicho
Baadhi
ya wajumbe na Viongozi wa Chama hicho wakimsikiliza Zitto Kabwe alipo
kua akizindua Mkutano wa Chama hicho(wa tatu kushoto) ni Baba wa
Kiongizi MKuu
wa chama hicho na akiliyekua Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zitto Kabwe.,
Msanii wa Makomando Said Christopher akisalimia Viongozi alipopanda juukwaani na mwenzake
Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for change and Transparecy (ACT) Anaa
Elisha akisalimiana na
Kiongizi MKuu wa chama hicho na akiliyekua Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zitto Kabwe mara alipo maliza kuzungumza na wafuasi wa chama hicho
Kiongizi MKuu wa chama hicho na akiliyekua Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zitto Kabwe mara alipo maliza kuzungumza na wafuasi wa chama hicho
Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for change and Transparecy (ACT) Anaa
Elisha akisalimiana na Askofu Mstaafu wa Jimbo la Kigoma Angilikana Gerald Mpango baada ya kuzungumza na Wanachama
Afande Sele akiwa Jukwaani akitumbuiza.
ONYO:
Kuna Watu Wengi wamekuwa wakinishutumu kuwa nami ni mwanasiasa hasa wa Chama cha ACT -WAZALENDO ,kisa tu bLOGU yangu Inaitwa Wazalendo 25 Blog; Hivyo ninapenda kuchukua nafasi kusema kwamba Blogu yangu ilianza Miaka 9 iliopita na hiki Chama kimeanzishwa mwaka Jana kama sijakosea.
Imetolewa na Mkurugenzi wa Wazalendo 25 Blog
No comments:
Post a Comment