Matukio : Tanzania Bloggers Network (TBN) Watoa Rambirambi kwa Msiba wa Moto Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

11 Feb 2015

Matukio : Tanzania Bloggers Network (TBN) Watoa Rambirambi kwa Msiba wa Moto Dar

 Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000/=Tshs) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM kama pole baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam. Katikati ni mmoja wa wajumbe wa TBN, Dotto Mwaibale aliyeshiriki tukio hilo. TBN ilishiriki katika mazishi ya marehemu hao sita waliozikwa jana katika makaburi ya Airwing Dar es Salaam. Picha na Francis Dande.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633